Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 21, 2012

WASHINDI WA MASHINDANO YA BALIMI KIGOMA WAPATIKANA.



Akina mama wa timu mbalimbali za upigaji wa makasia kwenye mashindano ya mitumbwi ya balimi yaliyofanyika kwenye ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma wakichuana vikali kwenye michuano hiyo ambapo timu ya Katonga A kwa upande wa wanaume iliibuka bingwa na kubadhiwa kitita cha Shilingi 900,000 na timu ya Upendo kwa upande wa Wanawake na kukabidhiwa kitita cha Sh 700,000.
WANAUME KAZINI! Miongoni mwa washiriki wa mashindano hayo ya mitumbwi ambao waliingia kwenye tatu bora ya mashindano hayo na kupata nafasi yakwenda kwenye fainali itakayofanyika mwezi Desemba Mkoani Mwanza.

Nahodha wa timu ya upigaji makasia ya Upendo kwenye mashindano ya mitumbwi ya Balimi Bi Mawazo Shabani akipokea kitita cha Tsh 700,000 baada ya kuibuka washindi kwenye mashindano hayo na kupata fursa ya kuwakilisha mkoa huo kwenye fainali itakayofanyika Mkoani Mwanza Desemba mwaka huu.
Mabingwa wa makasia timu ya Katonga A, wakishangilia baada ya kuibuka washindi kwenye mashindano hayo.
Nahodha wa Timu ya Katonga A, akionyesha kitita cha pesa cha Tshilingi 900,000 mara baada ya kukabidhiwa.

No comments :

Post a Comment