Mkurugenzi Idara ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira ya Baraza la
Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Ignace Mchallo (kushoto)
akimpongeza Leonard Gastory Lugali, akiyeibuka mshindi wa kwanza wa
shindano kuhusu mazingira lililopewa jina la‘Quarry Life Award’
lililokuwa likiendeshwa na Kampuni ya Saruji yaTanzania Portland
Cement (Twiga) na kupewa zawadi ya EURO 5000 katika hafla iliyofanyika kiwandani hapo, Dar es Salaam jana. Mshindi wa pili alipewa EURO 5000
na wa tatu aliondoka na 1500. Wengine pichani washindi, majaji wa
shindano na maofisa wa TPCC.
VERONICA MREMA WA TBN AANDIKA HISTORIA MKUTANO MKUU WA DUNIA WA
WAANDISHI WA SAYANSI
-
Bloga Veronica Mrema mmiliki wa M24Blog akiwa nchini Afrika Kusini .
Pretoria , Affrika Kusini
Kilele cha utambuzi wa Uandishi wa Habari za Kidijital...
17 hours ago

No comments :
Post a Comment