Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 17, 2012

OBAMA AMVUJISHA JASHO ROMNY, KWENYE MDAHALO WA JANA USIKU. AFANYA VIZURI NA KUREJESHA MATUMAINI KWA WAFUASI WAKE.


Wagombea Urais wa Marekani Mitt Romney (kushoto) na Barack Obama wakishambuliana kwenye mdahalo uliofanyika alfajiri ya kuamkia leo majira ya saa 10:00, kwa saa za Afrika Mashariki. Pamoja na wadadisi wa masuala ya kisiasa hawakuridhishwa na kitendo chao cha kuto jibu maswali moja kwamoja badala yake walikua wakishambuliana. 

Mdahalo huo wa pili uliofanyika kwenye Chuo Kikuu cha Hofstra huko Long Island unaonekana kumrejesha kwenye chat Rais Barack Obama, kwa kishindo dhidi ya mpinzani wake wa chama cha Republican Mitt Romney kwa kumfunika

Mdahalo huo wa pili kati ya midahalo mitatu iliyopangwa kufanyika umewapa nguvu wanachama wa Democrats waliokuwa wana hofu baada ya Obama kufanya vibaya kwenye mdahalo wa kwanza wiki mbili zilizopita.

Obama ametetea sera zake na kumchallenge Romney kwa kubadilisha badilisha misimamo kwenye masuala muhimu na kudai kuwa sera za mpinzani wake zitawapendelea matajiri kama akichaguliwa.
Kwa mujibu wa kura za CNN, Obama amefanya vizuri kwa asilimia 46 dhidi ya Romney aliyepata asilimia 39.
Zaidi ya tweets milioni 7 zimeandikwa wakati wa mdahalo huo.

No comments :

Post a Comment