Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 24, 2012

SAHAMANI IMANI MAKONGORO / GAZETI LA MWANANCHI




Onesmo Ngowi
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
OCTOBA 22, 2012

Leo hii nilituma taarifa ambayo ilijaribu kuijibu makala iliyoandikwa na "Imani Makongoro" mwandishi mwandamizi wa gazeti la Mwananchi. Taarifa hiyo ya Makongoro iliyokuwa na kichwa cha habari “Umbumbumbu wa Imani Makongoro mwandishi wa gazeti la Mwananchi” ilitumwa kwenye vyombo vya habari leo hii!

Nataka kuchukua fursa hii kuifuta taarifa hiyo na kuwaomba radhi Imani Makongoro, gazeti la Mwananchi pamoja na wasomaji wote walioipata na kusumbuliwa na taarifa hiyo!

Nafanya hivi nikijua kuwa taarifa yenyewe ilitoka kabla ya kushauriana na washauri wangu. Naamini kuwa uandishi wa habari ni wito na unafanyika katika mazingira magumu sana hapa Tanzania.

Mimi sina nia ya kuisema wala kuikandamiza taaaluma ya uandishi wa habari. Aidha sina haja ya kuwafanya waandishi wa habari wasiandike yale wanayofikiri kuwa ni mema kwa jamii!

Ndiyo maana nachukua fursa hii kumuomba radhi Imani Makongoro, Gazeti la Mwananchi pamoja na wote waliopata taarifa ile kwa usumbufu walioupata.

SAMAHANINI SANA!!!

Imeandikwa na:

Onesmo Ngowi

Rais wa,TPBC, IBF AMEAPG, ECAPBA

Mkurugenzi CBC

No comments :

Post a Comment