Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 17, 2012

SIMBA, KAGERA STARS NGOMA DROOO


  Amir Maftah wa Simba akimtoka Amandus Nesta wa Kagera Sugar, wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
 Emmanuel Okwi wa Simba akimpongeza Felix Sunzu baada ya kufanikiwa kuifungia timu yao goli la kwanza dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana. (PICHA NA KASSIM
Mchezaji Wilfred Ammeh wa Kagera Sugar (kulia), akipiga mpira mbele ya Amri Kiemba wa Simba, wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mrisho Ngassa wa Simba.

You might also like:

No comments :

Post a Comment