Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 19, 2012

ZOEZI LA KUKAMATA MAGARI YA SERIKALI YANAYOTUMIA NAMBA BINAFSI KUFANYIKA NCHI NZIMA


Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli (waliokaa mbele wapili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusu utaratibu wa usajili wa magari  ya Umma na kuwepo kwa zoezi rasmi la kurejesha usajili wa magari yote. Serikali imetoa muda hadi kufikia Novemba 15,2012 magari ya Umma yaliyo na namba  za kiraia yarejeshwe namba stahiki za magari ya Umma .

Baada ya hapo Operesheni kamata kamata magari, pikipiki, Bajaj na mitambo ya umma, itaanza na vilevle kutakuwa na aina ya namba za usajili zitakazotumika kama ST, PT, MT, JW, DFP, CW, SM na SU.

Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, hadi sasa serikali imeshasajili vyombo vya moto, 123,431 yakiwemo magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya umma.  Mkuu wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP Mohamed  Mpinga. PICHA/MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO
 

Kaibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Hebert Mrango akifafanua jambo.

Dk. Magufuli akiteta jambo na Kamanda Mpinga..Kwa hisani Daily Mitikasi Blog

No comments :

Post a Comment