Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 22, 2012

VIONGOZI WA UAMSHO WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO, Washitakiwa kwa makosa ya uchochezi na kusabisha vurugu.



Kiongozi wa Jumuiya ya UAMSHO Sheikh Farid Hadi Ahmed, akishuka kwenye gari la Polisi kuelekea kwenye Mahakama ya Mwanakwerekwe Mjini Zanzibar leo kusomewa mashtaka yanayowakabili ikiwemo kusababisha fujo na uchochezi.
Mmoja wa viongozi wa UAMSHO Sheikh Azan Khalid Hamdan (43) akishuka kwenye gari la polisi kuelekea mahakama hiyo ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar.
Magari yaliyoongoza msafara wa viongozi hao ambao ulikuwa na ulinzi mkali wa jeshi la polisi kikosi cha Kutuliza Ghasia

No comments :

Post a Comment