Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 26, 2012

PAMBANO LA YANGA NA POLISI MOROGORO KATIKA PICHA



 Kikosi cha Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya pambano lao na Polisi Morogoro katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-0. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Kikosi cha timu ya Polisi Morogoro
 Golikipa wa Yanga, Ali Mustafa akiwa katika harakati za kuokoa moja ya hataroi zilizoelekezwa langoni mwake. Kulia ni mshambuliaji wa Polisi Morogoro, Bantu Admin
 Paschal Maige akichuana na beki wa Yanga, Shadrack Nsajigwa
 Nsajigwa akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Polisi Moro, Keneth Masumbuko

No comments :

Post a Comment