Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 29, 2012

WAKALI 12 WA 'THE MIC KING' WAPATIKANA KUTOKA KINONDONI



Washiriki wa shindano la The Mic King, waliofuzu kuingia 12 bora kutoka Kinondoni wakiwa kwenye pozi la pamoja.
Kundi la Wakali Dancers likiwajibika stejini.
USIKU wa kuamkia leo kulifanyika mchujo mkali wa kuwasaka wakali 12 kutoka Kinondoni wa shindano la The Mic King, ndani ya Ukumbi wa burudani wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam. Baada ya kumenyana vikali kwenye steji hiyo huku wakifuatiliwa kwa makini na majaji wanaoujua muziki vilivyo John Dilinga (Dj JD), na Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’, ambao walifanya upembuzi makini na kuwapata wakali hao ambao ni Martin Gasper, Jafaar Kassim, Lusajo Kapngala, Peter Lugaman, Emmanuel Clemence, Ally Zuberi, Abdi Salim, Omary Xavery, Modestus Luiza, Athuman Ayoub, Dickson Siwalaza na Hudu Juma.
Shindano hilo pia lilisindikizwa na burudani za muziki kutoka kundi la Wakali Dancers na bendi ya Taarab ya Mashauzi Classic.
Majaji wa mchakato huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ (kushoto) na John Dilinga (Dj JD) wakiwa kazini.
Isha Mashauzi akiwarusha roho mashabiki waliohudhuria shoo hiyo ndani ya Dar Live.
Mpiga kinanda maarufu Bongo, Thabit Abdul akitumbuiza jukwaani.

No comments :

Post a Comment