Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 13, 2012

JUA MAANA YA NEMBO YA MNYAMA SIMBA KWENYE MIKANDA YA UBINGWA WA ECAPBA



EAST & CENTRAL AFRICA PROFESSIONAL BOXING ASSOCIATION

Technology House 35-38 Ghalla Road, P.O BOX 8307 Moshi, Tanzania

Tel / Fax: 255-54743 E-mail: ECAPBA@YAHOO.COM
TAARIFA MAALUM
13 OCTOBA, 2012
JUA MAANA YA NEMBO YA MNYAMA SIMBA KWENYE MIKANDA YA UBINGWA WA ECAPBA
Nembo ya mnyama Simba hapo juu kwenye ubingwa wa Afrika ya Mashariki na Kati ina maana ya ushupavu, uvumilivu, ukali, na hatari ya mnyama simba mwenyewe alivyo.
Nembo hii ilikubaliwa iwe ni alama ya kielelezo cha ubingwa wa ECAPBA ili iweze kuonyesha kuwa mabingwa wote wa ECAPBA wana viwango vinavyokubalika. Kesho ubingwa wa kati (Middleweight) katia ya bondia Mtanzania Thomas Mashali na Sebyala Med wa Uganda utafanyika katika ukumbi wa Friends Corner jijini Dar-Es-Salaam.
Nchi wanachama wa ECAPBA ni pamoja na Tanzania, Uganda, Kenya, Mawali, Rwanda, Burundi, Sudan, Ethiopia, Zambia na DRC Congo.
wakipozi na Rais wa ECAPBA OnesmoNgowi

No comments :

Post a Comment