Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 19, 2012

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda na Wengine 50 Wapandishwa Kizimbani



 Picha juu na chini ni washaktakiwa zaidi ya 50 wakiwa pamoja na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda wakiwa ndani ya karandimnga la polisi 
 Baadhi ya akina mama wanaounganishwa kwenye mashtaka hayo pamoja na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda (wa tatu kulia)leo akiwa ndani ya mahakam ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo na wenzake 50 kujibu mashtaka mbalimbali pamoja na kuwashawishi baadhi ya Waislamu kuvamia eneo la Kiwanja katika eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam, kuwashawishi Waislamu kutojitokeza katika zoezi la Uandikishaji katika Sensa ya Watu na Makazi.

No comments :

Post a Comment