Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 26, 2012

KAMPUNI YA TELUS YAKABIDHI LAPTOP KWA SHULE YA MSINGI MTONI




 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mtoni kwa Mama Mery, Omar Kitwana akionyesha Laptop aina ya Dell, aliyokabidhiwa  na Mwakilishi wa kampuni ya simu ya TELUS ya Vancouver Canada, Moe Tully (hayupo pichani) kwa ajili ya kuwaendeleza wanafunzi wa shule hiyo katika teknolojia ya mawasiliano makabidhiano hayo yamefanyika shuleni hapo (Picha na Abdallah Khamis)
Wanafunzi na walimushule ya msingi Miburani iliyopo Temeke jijini Dar esSalaam, wakiwa pamoja na wafadhili wao wawakilishi wa kampuni ya Simu ya TELUS yenye maskani yake Vancouver nchini Canada,mara baada ya kukabidhiwa laptop moja kwa ajili ya kuendeleza teknolijia ya mawasiliano shuleni hapo jana (picha na Abdallah Khamis)

No comments :

Post a Comment