Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 14, 2012

MSTAHIKI MEYA WA ILALA JERRY SILAA ZIARANI FINLAND



Mstahiki meya wa manispaa ya Ilala(Mh.Jerry Silaa) akipata maelezo toka kwa Bw.Ronny Snellman wa Kampuni ya utengenezaji wa nyama ya Snellman alipotembelea machinjio yao yaliyopo katika mji wa Jakobstad.
  Wengine katika picha ni Afisa biashara Bw. Nicas na Afisa mifugo Bw. Juma mwengine ni Bw. Stefan Jungell wa kampuni ya Kosek amabayo ni kampuni ya maendeleo ya jiji la Kokkola. Halmashauri ya manispaa ya Ilala imeunga udada na jiji la Kokkola Finland ambalo linaisaidia Ilala katika maeneo ya utawala bora,biashara ,usindikaji matunda,usindikaji maziwa,nishati mbadala,utengenezaji wa boti na usafi wa mji.
Ujumbe wa mstahiki Meya unajumuisha Mhe.Godwin Mbaga ambaye anaratibu ushirikiano huu katika ofisi ya meya,Bw.Sigfid Valentine ambaye ni mkuu wa Idara ya uchumi na mipango wa halmashari na mratibu wa ushirikiano,Bi.Tabu Shaibu afisa uhusiano,Afisa mifugo Juma,Afisa biashara Nicas na Afisa Teknohama Mat

No comments :

Post a Comment