Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 14, 2012

UN WAJITOLEA KUCHANGIA DAMU SALAM KUADHIMISHA KILELE CHA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI



 Charles Lutandula wa WHO akifanyiwa vipimo vya awali na Mtaalamu kutoka mpango wa Taifa wa Damu Salama Bi. Edith Senga, kabla ya kuchangia damu,wakati wa zoezi hilo lililofanyika leo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya uchangiaji damu duniani. 

Mshauri Mkuu wa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Christopher  John Ozga (kushoto) akiwa katika zoezi la kuchangia damu wakati wa kilele cha maadhimisho ya uchangiaji damu duniani. Aliyesimama ni Ofisa kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Deochris Kaimukilwa.

No comments :

Post a Comment