Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 8, 2012

NABAKI AFRIKA YATOA MILIONI 15 KWA MSHINDI WA DROO YA SHINDA PAA KUTOKA NABAKI AFRIKA



Mkurugenzi mkuu wa Nabaki Afrika  Ltd Bw. Hamish Hamilton akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi hundi ya kiasi cha shilingi 15.000.OOO, kwa mshindi wa droo iliyochzeshwa na kampuni hiyo mei 31 mwaka huu. Nabaki Afrika ilikabidhi hundi hiyo kwa Bw. Kalembo Bisaya ambaye ndiye mshindi wa Droo hiyo ambapo kila mmoja wa wateja hawa wamenunua  aidha vifaa vya mfumo wa kuvuna maji ya mvua  vijulikanavyo kama Marley Gutters au mfumo wa kuzuia joto katika paa pamoja na  vigae vya kuezekea aina ya DECRA. Washiriki katika shindano hilo walikuwa 101 ambapo amesema wateja wote ambao wamenunua vigae vya DECRA wataweza kuona tofauti nzuri ambayo ni DECRA halali tu ndiyo inatoa. Makabidhiano hayo ya hundi yalifanyika katika makao makuu ya Nabaki Afrika leo Jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa Droo hiyo Bw. Kalembo Bisaya akizungumza na waandishi wa habari juu ya furaha yake baada ya kukabidhiwa hundi hiyo.
Mkurugenzi  mkuu msaidizi wa Nabaki Afrika  Ltd Bi. Tamia Hamilton akifafnua juu ya utoaji wa zawadi hizo kwa wale wateja waliofanikiwa kushinda katika Droo hiyo.
Bw. Alison Malopa ambaye ni meneja mauzo na maonyesho katika kampuni ya Nabaki Afrika akifafanua juu ya droo hiyo ambayo alisema ni ya mwisho katika shindano hilo linalokwenda kwa jina la Shinda paa.
Bw. Kalembo Bisaya akiwa kwenye picha ya pamoja na mkewe bada y kupokea hundi hiyo.

No comments :

Post a Comment