Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 8, 2012

Waziri wa afya akiongea na waandishi wa habari kuhusu siku ya maadhimisho ya kuchangia damu



Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi akiongea na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya siku ya wachangia damu Duniani yatakayofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 14 Mwezi huu. Uchangia damu wa hiari umeongezeka toka chupa 52,000 kwa mwaka 2005 na kufikia  chupa 140,000 kwa mwaka 2011, kauli mbiu ya mwaka huu ni “kila mchangia damu ni shujaa”.  Kulia ni Naibu Waziri Dk. Seif Rashid. 
(PICHA NA ANNA NKINDA WA MAELEZO)
Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza  Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi (hayupo pichani) wakati akiongea nao kuhusu  maadhimisho ya siku ya wachangia damu Duniani yatakayofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 14 Mwezi huu. Uchangia damu wa hiari umeongezeka toka chupa 52,000 kwa mwaka 2005 na kufikia  chupa 140,000 kwa mwaka 2011, kauli mbiu ya mwaka huu ni “kila mchangia damu ni shujaa”.

No comments :

Post a Comment