Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 8, 2012

HOSPITALI YA KISASA YA MAGONJWA YA MOYO YA DK. FERDINAND MASAU HEARTH INSTITUTE LIMITED (MHI) KUJENGWA MBWENI



  Mtaalam wa tiba ya magonjwa ya moyo nchini, Dk. Ferdinand Masau, akiwaonyesha sehemu ya jengo jipya la hospitali yake, wawakilishi wa mashirika ya kimataifa kutoka Marekani, walipotembelea kuona ujenzi wa hospitali hiyo itakayojulikana kama Dk. Ferdinand Masau Hearth Institute Limited (MHI), iliyopo Mbweni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. (Picha na Joseph Senga)
 Mtaalam wa tiba ya magonjwa ya moyo nchini, Dk. Ferdinand Masau, akiwaonyesha sehemu ya vifaa vya kisasa vya matibabu ya moyo.
 Eneo la ujenzi wa hospitali ya kisasa ya moyo huko Mbweni nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment