Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 9, 2012

KOZI YA AWALI YA WAAMUZI WA NGUMI ZA RIDHAA




*Yah: KOZI YA AWALI YA WAAMUZI WA NGUMI ZA RIDHAA
 TAREHE 11-30/11/2012 DAR ES SALAAM.

Shirikisho la ngumi Tanzania BFT limeandaa kozi ya awali ya waamuzi wa ngumi.itakayofanyika Dar es salaam kwa tarehe hizo hapo juu.
SIFA ZA KUJIUNGA NA KOZI: Awe mpenzi wa ngumi.
Elimu ya kuanzia darasa la saba na kuendelea na awe anajua kusoma na kuandika vema lugha ya Kiswahili na kingereza.
Kama ni mchezaji wa ngumi awe ameacha kucheza kwa sababu yoyote na hataruhusiwa kucheza tena ngumi kwa mashindano kama mchezaji.
Awe raia wa Tanzania

No comments :

Post a Comment