| Kocha mkongwe katika masumbwi, Habibu Kinyogoli 'Katikati' akibadilishana mawazo na makocha wa mchezo huo kushoto ni Kocha wa timu ya Taifa Mzonge Hassani na Kocha wa Kimataifa wa mchezo uho anaefundisha timu ya Ashanti pamoja na timu ya Mkoa wa Kimichezo ya Ilala Rajabu Mhamila 'Super D' walipokutana katika kambi ya ngumi Ilala Dar es salaam juzi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment