Kocha mkongwe katika masumbwi, Habibu Kinyogoli 'Katikati' akibadilishana mawazo na makocha wa mchezo huo kushoto ni Kocha wa timu ya Taifa Mzonge Hassani na Kocha wa Kimataifa wa mchezo uho anaefundisha timu ya Ashanti pamoja na timu ya Mkoa wa Kimichezo ya Ilala Rajabu Mhamila 'Super D' walipokutana katika kambi ya ngumi Ilala Dar es salaam juzi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
DODOMA KUANDIKA HISTORIA MPYA YA USAFISHAJI SHABA
-
Kiwanda cha Shengde chakaribia kuanza uzalishaji rasmi mwezi Julai_
*Juni 26, 2025- Dodoma*
Mkoa wa Dodoma unajiandaa kuandika historia mpya katika sekta...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment