Mwanafunzi
wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Alfa Morogoro, Jesca
Kiliani (17) akifanya mtihani wa taifa wa kidato hicho akiwa wadi namba
7B katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo jana, baada ya kulazwa
kufuatia kufanyiwa operesheni ya uvimbe ambapo hivi sasa anaendelea na
matibabu hospitalini hapo.
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
1 day ago


No comments :
Post a Comment