Mwanafunzi
wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Alfa Morogoro, Jesca
Kiliani (17) akifanya mtihani wa taifa wa kidato hicho akiwa wadi namba
7B katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo jana, baada ya kulazwa
kufuatia kufanyiwa operesheni ya uvimbe ambapo hivi sasa anaendelea na
matibabu hospitalini hapo.
DKT.MPANGO AWASILI JIJINI ABUJA ,NIGERIA
-
Watanzania mbalimbali waishio nchini Nigeria wakimpokea Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango wakati alipowasili
Abuj...
14 hours ago
No comments :
Post a Comment