Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Athuman Nyamlani akielezea mipango yake ya kuendeleza soka nchini
endapo katika Uchaguzi Mkuu wa TTF ujao atachaguliwa kuwa Rais.
Nyamlani alikuwa anazungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari
alipokuwa akizindua kampeni zake jana kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo, Dar es Salaam leo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment