Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Athuman Nyamlani akielezea mipango yake ya kuendeleza soka nchini
endapo katika Uchaguzi Mkuu wa TTF ujao atachaguliwa kuwa Rais.
Nyamlani alikuwa anazungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari
alipokuwa akizindua kampeni zake jana kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo, Dar es Salaam leo.
RC CHALAMILA : MJANE BI ALICE HAULE NDIYE MMIIKI HALALI KIWANJA NO.819
MSASANI BEACH
-
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amehitimisha mgogoro wa
nyumba kiwanja namba 819 Msasani Beach uliom...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment