Mbunifu wa mavazi wa kimataifa nchini Afrika Kusini, David Tlale akiwa na Mwanamitindo wa Kimataifa kutoka Tanzania, Millen Magesa wakipita jukwaani stejini mara baada ya kuonesha ya kuonesha mavazi yake katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week, lililofanyika kwenye Stehsni ya Treni ya Ravos ya Mjini Tshwane, Pretoria, Afrika Kusini hivi karibuni
KARIBU NYUMBANI YABAMBA OLDUVAI.
-
Washiriki zaidi ya 300 wameshiriki mbio fupi za kilomita 5 katika bonde la
Olduvai Ngorongoro kwa lengo la kutangaza vivutio vya asili vya Olduvai na
...
4 hours ago


No comments :
Post a Comment