Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 29, 2013

MKE WA RAIS, MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA RASMI MAONESHO YA WANAWAKE WAJASILIAMALI NCHINI




 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akivishwa bangili na mama Esther Moreto na Nelgwe Kikoti wajasiriamali wa kabila la wamasai kutoka katika kijiji cha Kwamakweza huko Chalinze, wilayani Bagamoyo. Akina mama hao mno miongoni mwa wajasiriamali wanaoonyesha bidhaa zao Mnazi mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisikiliza hotuba mbalimbali za viongozi wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisherehekea ufunguzi rasmi wa maonesho yao uliofanywa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

No comments :

Post a Comment