Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 31, 2013

PHD AOMBA RADHI MASHABIKI






Na Elizabeth John
MSANII wa filamu na bongo fleva nchini, Hemed Suleiman ‘PHD’ amewaomba radhi mashabiki wa muziki wake kwa kutoonekana msanii, Heri Samir ‘Mr Blue’ katika video ya wimbo wake wa ‘Rest Of My Life’.
Katika video ya wimbo huo, sauti ya Mr Blue unasika lakini yeye haonekani kitu ambacho kimewashangaza mashabiki wa msanii huyo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Hemed alisema hiyo imetokana na msanii huyo kutokuwepo nchini wakati akifanya ‘shooting’ ya wimbo huo.
“Naomba sana radhi kwa mashabiki wangu kwa kutoonekana Mr Blue katika video ya wimbo huo, wakati nafanya video ya wimbo huo, hakuwepo nchini baada ya kuona audio imekaa kwa muda bila video nikalazimika kuifanya pekeyangu,” alisema.

Msanii huyo alishawahi kutamba na kazi zake kama, ‘Mama Kimbo’, ‘Usiniache’, ‘Ninachotaka’ na nyinginezo ambazo zilimtambulisha na kufanya vizuri katika tasnia ya muziki huo.

No comments :

Post a Comment