Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 28, 2013

AMOSI MWAMAKULA AMGALAGAZA SAFARI MBEYU


Bondia Amos Mwamakula akinyooshwa mkono juu baada ya kumchapa Safari Mbeyu kwa pointi wakati wa mpambano wao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Amosi Mwamakula kulia akimshambulia Safari Mbeyu wakati wa mpambano wao mwamakula alibuka na ushindi wa point wakati wa mpambano wao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' ALIJIKUTA AMEMECHISHA KOFIA NA MWAMAKULA YENYE NEMBO YA TMT AMBAYO ANATUMIA BONDIA FLOYD MAYWETHER WA MAREKANI
AMOSI MWAMAKULA
BONDIA AMOSI MWAMAKULA AKIJITAARISHA
Bondia Amosi Mwamakula kulia akimshambulia Safari Mbeyu wakati wa mpambano wao mwamakula alibuka na ushindi wa point wakati wa mpambano wao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
AMOSI MWAMAKULA

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

No comments :

Post a Comment