Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 17, 2013

NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA UZINDUZI WA MKOA MPYA WA NJOMBE



 Muuguzi wa Hospitali ya Tanwat, Asnath Mdakule akitoa huduma ya upimaji wa afya ya magonjwa ya shinikizo la damu ‘BP’ na uwiano kati ya urefu na uzito kwa mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakati maonesho ya uzinduzi wa mkoa mpya wa Njombe, ikiwa ni moja ya huduma zinazotolewa na shirika hilo katika mafao ya Matibabu. Picha na Shaban Lupimo
 Muajiri Mkubwa wa NSSF Njombe ambae ni  Mhandisi wa kampuni ya Tanwat Njombe Umesh Radd akisaini kitabu cha wageni kabla ya kupokea maelezo kuhusiana na uanachama wa hiari na sekta binafsi kutoka  kwa Meneja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF mkoa wa Njombe, Godwin Mwakalukwa baada ya kutembelea banda la shirika hilo kwenye maonesho ya uzinduzi wa mkoa katika uwanja wa. 
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu Aseri Msangi (kushoto) akipokea maelezo kuhusiana na uanachama wa hiari na sekta binafsi kutoka  kwa Meneja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF mkoa wa Njombe,Godwin Mwakalukwa (katika) baada ya kutembelea banda la shirika hilo kwenye maonesho ya uzinduzi wa mkoa katika uwanja wa SabaSaba kulia ni Ofisa Uhusiano wa shirika hilo Maife Kapinga. 
Maelezo.....

No comments :

Post a Comment