Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 21, 2013

TBL YAWAPATIA MAMILIONI YA FAIDA WAKULIMA WA YA ZAO LA SHAYIRI MONDULI


 Meneja Shayiri (Barley Manager) wa Kampuni ya Bia nchini (TBL), Dk. Bennie Basson (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi mkulima wa zao hilo katika kijiji cha Emairete, Kata ya Monduli Juu wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha , John Koira Laizer sh. mil. 16 iliyotokana na mapato ya mavuno ya shayiri kwenye shamba lake. Pia TBL ilimuwezesha mkulima huyo pembejeo na utalaamu vilivyosababisha apate mavuno mazuri.
 Mkulima wa zao Shayiri katika Kijiji cha Emairete,Kata ya Monduli Juu, wilayani Monduli, Arusha, John Laizer (kulia) akiishukuru Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kijijini hapo, baada ya kukabidhiwa faida ya sh. mil. 16 iliyotokana na mapato ya mavuno ya shayiri kwenye shamba lake. Pia TBL ilimuwezesha mkulima huyo pembejeo na utalaamu vilivyosababisha apate mavuno mazuri. Kushoto ni  Meneja Shayiri wa TBL,Dk. Bennie Basson.
Meneja Shayiri (Barley Manager) wa Kampuni ya Bia nchini (TBL), Dk. Bennie Basson ( Wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wakulima wa zao hilo, katika kijiji cha Emairete,Kata ya Monduli Juu wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha wanalima kwa  msaada wa kitaalamu,kulia ni Afisa Ugani wa TBL, Editha Temu.

No comments :

Post a Comment