Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 11, 2013

BODI YA UTALII TTB YAANDAA WARSHA KWA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKAKATI WA KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA KIMATAIFA


Meneja Masoko wa Bodi ya Utalii (TTB) Bw. Geofrey Meena akitoa maelezo mbele ya waandishi wa habari wakati akijibu maswali kwenye Warsha ya Mkakati wa kutangaza utalii wa Tanzania kimataifa iliyoandaliwa na Boodi hiyo na kuhudhuriwa na wahariri na waandishi mbalimbali wa vyombo vya habari pamoja na maafisa wa (TTB), Warsha hiyo imefanyika leo kwenye hoteli ya New Africa leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Philip Chitaunga Meneja wa Huduma za Utalii (TTB) na kushoto ni Sam Kasulwa Ofisa mawasiliano wa (Tourism Confederation of Tanzania), (PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-NEW AFRICA HOTEL)
1 
Geofrey Tengeneza Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB) akitoa utambulisho wa mada zenyewe na malengo ya Warsha hiyo. 6 
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika warsha hiyo 7 
Lilian Timbuka Mwandishi mwandamizi kutoka Gazeti la Uhuru akiuliza swali katika warsha hiyo. 8 
Baadhi ya maofisa kutoka Bodi ya Utalii (TTB) wakiwa katika warsha hiyo. 9 

No comments :

Post a Comment