Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga mafunzo kwa
watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia
leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’
mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake
ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto
kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment