Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 25, 2013

MWANAMUZIKI MOHOMBI AWASILI JIJINI DAR , TAYARI KUTUMBUIZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA KESHO JUMAMOSI LEADERS CLUB




  Msanii wa kimataifa Mohombi Nzasi Moupondo baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere kwa ajili ya shoo kali ya Serengeti Fiesta  itakayofanyika kesho katika viwanja vya Leaders Club. Mbele yake ni Fauzia mratibu wa shughuli za Serengeti Fiesta kutoka PrimeTime Promotions.

 Msanii wa kimataifa Mohombi Nzasi Moupondo  (kulia) akifanya interview na wanahabari baada ya kutoka nje ya uwanja wa ndege kwa ajili  ya kufanya shoo kali ya Serengeti Fiesta inayotarajiwa kufanyika kesho  katika viwanja vya leaders club. Tamasha hilo limedhaminiwa na kampuni ya  bia ya Serengeti kupitia bia ya Serengeti Laga.

 Mohombi (kulia) akisindikizwa kutoka nje ya uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere  baada ya kushuka na ndege ya Turkish Air lines na Afisa wa ndege hiyo Ebubekir Ekici ambaye pia alifurahia ujio wake Tanzania.

Msanii wa kimataifa anaetamba na kibao chake kikali cha “Kiss Me” akiwa amepozi na mtangazaji wa Clouds Tv baada ya kupokelewa jana katika  uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere.

No comments :

Post a Comment