Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo
anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo
Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe
17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete
aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10
hadi 23.10.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment