Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo
anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo
Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe
17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete
aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10
hadi 23.10.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment