Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo
anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo
Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe
17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete
aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10
hadi 23.10.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa
magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na
kuzingatia ...
4 days ago
No comments :
Post a Comment