Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 17, 2011

FAINALI ZA MASHINDANO YA MITUMBWI BALIMI EXTRA LAGER KUFANYIKA KESHO JIJINI MWANZA







Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali za mashindano ya Mitumbwi ya Balimi Extra Lager yanayofanyika kesho jumapili Decemba 18, Mwaloni Jijini Mwanza.Kulia ni Meneja mauzo na usambazaji wa Kanda, Malaki Staki.


Meneja mauzo na usambazaji wa Kanda , Malaki Staki akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali za mashindano ya Mitumbwi ya Balimi Extra Lager yanayofanyika kesho jumapili Decemba18, Mwaloni Jijini Mwanza.Katikati ni Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa na Meneja matukio wa Kanda, Erick Mwayela.


FAINALI ZA MASHINDANO YA MITUMBWI YA BALIMI EXTRA LAGER 2011 KUWAKA MOTO JUMAPILI.


Mwanza; Desemba 16, 2011: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Balimi Extra Lager leo imetangaza kukamilika kwa fainali za Mashindano ya mitumbwi ya Balimi Extra Lager 2011, ambazo zitafanyika siku ya Jumapili tarehe 18 desemba 2011 katika Mwalo wa Kirumba jijini Mwanza.


Fainali hizi zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kufuatia maandalizi ya kutosha toka kwa timu shiriki zitakutanisha timu zaidi ya 12 za akina Baba na timu zaidi ya 8 kwa upande wa kina Mama, toka katika Mikoa ya Mwanza, Mara, Kagera na Visiwa vya Ukerewe.


Akithibitisha kukamilika kwa fainali hizo, meneja wa Bia ya Balimi Bi. Edith Bebwa alisema “Balimi Extra Lager imekamilisha maandalizi yote ya Fainali hizi, na timu zitaanza kuingia jijini Mwanza siku ya Jumamosim tayari kabisa kwa mpambano huu mkali utakaofanyika Jumapili katika Mwalo wa Kirumba hapa Mwanza. Gharama zote za usafiri na malazi kwa timu zote zitalipwa na Balimi Extra Lager, hivyo kazi ya washindani ni kupambana kupata vitita vinono vya zawadi tulivyowaandalia”


Akizitajazawadihizo Bi. Edith alisema; kamatulivyotangazahapoawali, mwakahuutumeongezazawadikwawashindiilikuongezachachuyaushindaninapiakutoahamasakwawashirikiwengizaidisikuzijazo. Katikangazihiiyafainaliwashindiwatapatazawadikamaifuatavyo;

































FainaliKuu



Wanaume


Wanawake


Mshindiwa kwanza


2,600,000


2,200,000


MshindiwaPili


2,200,000


1,600,000


MshindiwaTatu


1,600,000


850,000


MashindiwaNne


850,000


600,000


5 hadi 10 - Kilatimu


400,000


200,000

No comments :

Post a Comment