Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, December 18, 2011

MADA MAUGO AMGALAGAZA SELEMANI SAIDI KWA KO RAUNDI YA TATU


Refarii akimuesabia bondia Selemani Saidi Baada ya kupokea kichapo toka kwa Mada Maugo jana
Bondia Mada Maugo (kulia) akipambana na Selemani Said, wakati wa mpambano wao uliofanyika mzalendo pub jana Maugo alishinda KO raundi ya tatu
Mohamed Bawaziri katikati akiwa na Msanii Khalidi Chuma 'Chokolaa' na Fadhili Majia KUshoto
Wanenguaji wa Bendi ya Mapacha watatu wakiwajibika wakati ma mpambano wa masumbwi mzalendo Pub Dar es salaam jana
Mada Maugo akinyoshwa mkono juu kuashilia ushindi

No comments :

Post a Comment