Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 3, 2011

WANAFUNZI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA WAHITIMU LEO


Baadhi ya wanachuo wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE wakitunikiwa wakati wa mahafari ya 46 yaliyofanyika chuoni hapo Dar es salaam leo jumla ya waitimu 1973 wa shahada na Stashaada mbalimbali walitunukiwa vyeti


Baadhi ya Wahitimu wa Uongozi wa Usimamizi wa Biashara wakipongezana wakati wa mahafari ya 46 ya chuo hiko leo kutoka kushoto ni Saidi Mzuzuri, Mogasa Mogasa na Albert Kingu

No comments :

Post a Comment