Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 15, 2011

Zawadi za Airtel Mzuka zaanza Kumiminika



Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania Dangio Kaniki (kushoto)akimkabidhi moja kati ya washindi wa promosheni ya Mzuka wa Airtel bwana Yusuf Semi Samsung Tablet baada kuibuka mshindi wa wiki ya kwanza ya promosheni hiyo ambapo wateja mbalimbali wa Airtel wanapata nafasi ya kujishindia zawadi kabambe ikiwemo simu,ipad, muda wa maongezi na pesa taslimu.
Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Dangio Kaniki (Kushoto ) akimkabidhi moja kati ya washindi wa promosheni ya Mzuka wa Airtel bwana Murtaza Aliraza Samsung Tablet baada kuibuka mshindi wa wiki ya kwanza ya promosheni hiyo ambapo wateja mbalimbali wa Airtel wanapata nafasi ya kujishindia zawadi kabambe ikiwemo simu, ipad, muda wa maongezi na pesa taslimu.

Baadhi ya washindi wa promosheni ya Mzuka wa Airtel wakiwa na zawadi zao aina ya Sumsung Tablets mara baada ya kuibuka washindi na kukabidhiwa zawadi hizo katika makao makuu ya Airtel Tanzania, pamoja nao pichani ni mwakilishi wa Airtel (wa pili kushoto) Afisa Uhusiano Dangio Kaniki akifurahia kwa pamoja ushindi kwa wateja hao.

No comments :

Post a Comment