Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 14, 2011

MASHINDANO YA CASTLE TAIFA CUP YAENDELEA KWA SHAMRA SHAMRA ZA KIUSHINDANI MKUBWA JIJINI DSM.


Mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Mkoa wa Mbeya,Hamphrey Mwakatundu (kulia )akijaribu kumpita beki wa timu ya Mara, Mussa Mwambije wakati wa mashindano ya mchezo huo ya Castle Litle Taifa Cup yanayoendelea Uwanja wa Leaders Dar es Salaam.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Mkoa wa Mbeya akirajibu kuwapita mabeki wa timu ya Mara wakati wa mashindano ya mchezo huo ya Castle Litle Taifa Cup yanayoendelea Uwanja wa Leaders Dar es Salaam.Akijaribu kuwatoka mabeki
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Mkoa wa Mbeya,Hamphrey Mwakatundu na mchezaji wa timu ya Mara,Mussa Mwambije wakiwania mpira wakati wa mashindano ya mchezo huo ya Castle Litle Taifa Cup yanayoendelea Uwanja wa Leaders Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment