Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, December 18, 2011

Airtel Money ilivyozinduliwa na kupokelewa jijini Mbeya


Mkali wa muziki wa hip hop kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya hapa nchini,Mfalme wa Rhymes ,Simba Mzee,Afande Sele akiwarusha vilivyo wakazi mbalimbali wa jiji la Mbeya,waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel,Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa mpira wa miguu wa Sokoine.
Wakazi wa jiji la Mbeya kutoka vitongoji mbalimbali wakishangilia vilivyo jioni ya leo kwenye tamasha la uzinduzi wa huduma ya Airtel Money,lililofanyika katika uwanja wa Sokoine,jijini Mbeya.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Jaffarai akitumbuiza jukwaani jioni ya leo kwenye tamasha la uzinduzi wa huduma mpya kutoka kampuni ya simu ya Airtel,ijulikanayo kwa jina la Airtel Money.
Ilikuwa shangwe mwanzo mwisho,wakazi wa Mbeya wameipokea vyema huduma ya Airtel Money.
Palikuwa hapatoshi leo kwenye uwanja wa Sokoine,jijini Mbeya.

No comments :

Post a Comment