Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 20, 2011

SKENDO YA UMALAYA MASTAA WA MUVI 2011










ZIKIWA zimebaki siku 12 mwaka wa 2011 ufutike, Ijumaa Wikienda linazindua ripoti kamili ya skendo za umalaya kwa baadhi ya mastaa wa kike wa tasnia ya filamu Bongo, shuka na mistari.





Mara kadhaa magazeti ya Global Publishers yamekuwa yakiripoti ufuska unaofanywa na mastaa hao na wakati mwingine kuingia kwenye mgogoro nao wakidai wanasingiziwa, lakini sasa upepo umebadilika.





WENYEWE WAANIKANA





Mjadala unaochukua kasi mithili ya moto wa kifuu katika ulimwengu wa mastaa wa filamu ni kauli za Irene Pancras Uwoya na Wema Isaac Sepetu waliowatuhumu wenzao kujiuza au kuuzwa laivu kwa wanaume, tena kwa bei cheee.



HIKI NDICHO ALICHOKISEMA UWOYA





Kwa mujibu wa Uwoya, limekuwa ni jambo la kawaida kufuatwa na kuambiwa kuwa kuna mtu…

No comments :

Post a Comment