Pamoja na majukumu yangu magumu nimefurahi kwani leo nilipata wasaa wa kusalimiana na Rais Mh. Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kulifungua rasmi jengo la Golden Jubilee Towers, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu na niliifurahia, Ninamtakia Afya njema na kazi njema katika majukumu yake ya kuongoza watanzania kwa ujumla na namtakia kila mafanikio katika kazi zake na Serikali yake.
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
18 hours ago
No comments :
Post a Comment