Pamoja na majukumu yangu magumu nimefurahi kwani leo nilipata wasaa wa kusalimiana na Rais Mh. Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kulifungua rasmi jengo la Golden Jubilee Towers, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu na niliifurahia, Ninamtakia Afya njema na kazi njema katika majukumu yake ya kuongoza watanzania kwa ujumla na namtakia kila mafanikio katika kazi zake na Serikali yake.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment