Pamoja na majukumu yangu magumu nimefurahi kwani leo nilipata wasaa wa kusalimiana na Rais Mh. Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kulifungua rasmi jengo la Golden Jubilee Towers, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu na niliifurahia, Ninamtakia Afya njema na kazi njema katika majukumu yake ya kuongoza watanzania kwa ujumla na namtakia kila mafanikio katika kazi zake na Serikali yake.
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment