Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 10, 2011

MENEJA WA BIA YA CASTLE LITE AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TBF LEO




MENEJA WA BIA YA CASTLE LITE AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TBF LEO









Meneja wa Bia ya Castle Lite,Pamela Kikuli (kushoto),akimkabidhi tshirt Katibu msaidizi wa TBF,Michael Maluwe kwa ajili ya mashindano ya Castle Lite Basketball Taifa Cup yanayoanza kesho zenye thamani ya Shilingi Milioni 5.6.

Na Michael Machellah


MENEJA wa Bia ya Castale Lite, Pamela Kikuli leo amekabidhi vifaa vya michezo kwa Katibu Mkuu Msaidizi wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania,Michael Maluwe vyenye thamani ya Shs.Millioni 5.6 ambavyo ni Tshirt kwa wachezaji wa timu zote,Tshirt 350 kwa ajili ya mashindano ya Castal Lite Basketball Taifa Cup na baadae watawakabidhi tena 350 wakati wa kufunga mashindano hayo.


Katibu Mkuu Msaidizi Michael Maluwe alishukuru msaada huo na kuyaomba makampuni mengine yaige mfano wa Kampuni yaTBL kupitia Bia ya Castal Lite walivyofanya kudhamini mashindano hayo kwa kiasi kisichopungua Millioni 28.



Asante sana....


Meneja wa Castle Lite,Pamela Kikuli akizungumza na waandishi wa habari


Pamela akizungumza


Katibu Maluwe akizungumza


Michael akizungunza


No comments :

Post a Comment