Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 15, 2011

KOMBE LA WAITARA KUANZA DISEMBA 17 VIWANJA VYA GOFU LUGALO



Bia ya Tusker malt lager kwa mara nyingine tena inatukutanisha na kinyangayilo cha kombe la Waitara katika viwanja vya mchezo wa Golf lugalo siku ya jumamosi tarehe 17 mwezi December 2011. Kombe hili litachezeshwa maalum kwa kusherehekea miaka 5 ya maendeleo ya uwanjaiwa Golf Lugalo pamoja na kumbukumbu ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.

Kumbuka shindano hili la mchezo wa golf limedhaminiwa na bia ya Tusker Malt lager

HAIUZWI KWA WALIO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18.TAFADHALI KUNYWA KISTAARABU

No comments :

Post a Comment