Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 24, 2011

RASHIDI MATUMLA NA MANENO OSWARD WAPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO KESHO


Rashidi Matumla na Maneno Osward WAkipima uzito leo
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios 'Mwayamwaya'
(katikati), akiinua mikono ya mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo'
kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', baada ya kupima uzito leo, kwa
ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Helnken Mtoni
Kijichi, Dar es Salaam siku ya Xmasi. (Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)




Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios 'Mwayamwaya'
(katikati), akiwashuudia mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo'
kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', wakitunishiana misuli baada ya
kupima uzito leo, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye
Ukumbi wa Helnken Mtoni KIjichi, Dar es Salaam siku ya Xmas. (Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments :

Post a Comment