Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bi. Glory Remmy Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo
KABUDI ANADI FURSA TASNIA YA FILAMU INDIA
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi
amenadi fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo hapa nchini kwenye Sekta ya
S...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment