Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 7, 2011

SERENGETI YADHAMINI TIMU ZA WABUNGE NA WAWAKILISHI NA KUKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO

Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano kampuni ya SBL.Teddy Mapunda akikabidhi kombe kwa viongozi wa timu ya Bunge na Timu ya Baraza la Wawakilishi.Pichani kulia ni Kapteni wa timu ya Bunge,Mh Amos Makala na kushoto ni Mwenyeki wa timu ya Baraza la Wawakilishi,Mh Hamza Hassani Juma.
Mkurugenzi wa Mawasiliano kampuni ya SBL.Teddy,Mapunda akizungumza mbele ya wanahabari mapema leo Makao Makuu ya ofisi hizo zilizopo Oysterbay,jijini Dar,kuhusiana na udhamini wa mechi kati ya Timu ya Wabunge na Timu ya Baraza la Wawakilishi kutoka Zanzibar,itakayofanyika 9 Desemba kwenye Uwanja wa Uhuru,ikiwa ni sehemu mojawapo ya kusherehekea miaka 50 ya Uhuru,aidha Teddy amesema kuwa udhamini wa timu hizo umegharimu kiasi cha zaidi ya milioni 65.
Mkurugenzi wa Mawasiliano kampuni ya SBL.Teddy,Mapunda (katikati), akizungumzia namna udhamini wao utakavyokuwa kwa timu hizo, wengine kulia na kushoto ni Nahodha wa timu ya Bunge, Mh Amos Makalla na Mwenyekiti wa timu ya Baraza la Wawakilishi, Mh Hamza Hassani Juma.
Wawakilishi nae akifafanua zaidi namna watakavyowakabili wapinzani wao Desemba 9 mwaka huu ndani ya Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Kapteni wa Timu ya Wabunge,Mh Amos Makala akizungumza ni namna gani wamejipanga kuhusiana na mechi hiyo itakayokuwa ya kusisimua dhidi ya mahasimu wao Timu ya Baraza la Wawakilishi kutoka Zanzibar.

Mwenyekiti wa timu ya Baraza la wawakilishi Mkurugenzi wa Mawasiliano kampuni ya SBL.Teddy Mapunda akikabidhi kombe kwa viongozi wa timu ya Bunge na Timu ya Baraza la Wawakilishi.Pichani kulia ni Kapteni wa timu ya Bunge,Mh Amos Makala na kushoto ni Mwenyeki wa timu ya Baraza la Wawakilishi,Mh Hamza Hassani Juma.

No comments :

Post a Comment