Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw Clement Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mtangazaji Halim Mchuka leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwwenda kuzikwa makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa. (Picha na Ikulu)
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
18 hours ago
No comments :
Post a Comment