Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Matangazo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi, Sarah Kibonde (kushoto) na Ofisa uhusiano wa mamlaka hiyo wakitoa maelekezo, mbalimbali kutoka kwa wananchi waliofika katika banda lao wakati wa Mahadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika viwanja vya Mwalimu nyerere sabasaba Dar es salaam
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment