Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 10, 2011

RAMADHANI NASIBU AMTWANGA ANTONI KAIRUKI KWA POINT


Ramadhani Nassibu akinyoshwa mkono juu na Refarii Said Chaku wakati wa mpambano wake na Antoni Kairuki

Ramadhani Nassibu akipambana na Antoni Kariuki wa kenya Jana
Baadhi ya mashabiki wa ngumi wakiwa wamesimama kwa ajili ya wimbo wa taifa wakati wa mpambano wa kirafiki wa kimataifa
Rais wa TPBO Yasini Abdallah Ostadhi akizungumza wakati wa mpambano uho
Rais wa Chama cha Ngumi za KUlipwa TPBO Yasin Abdalah akitangaza matokeo
Shabiki wa mchezo wa ngumi Chidi Mzee wa Mbele akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wake wa kusapoti ngumi kupitia kipindi chake anachokienbdesha ALLY MKONGO wa ITV kulia ni Yasini Abdallah Ostadhi
Promota wa SIku nyingi Filimon Kyando 'Don King' akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa kuendeleza masumbwi mtangazaji Fadhili Swala wa Mlimani TV

Shamra shamra za mashabiki

No comments :

Post a Comment