Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 1, 2012

MAYWETHER VS COTTO KUZIPIGA MAY 5



Bingwa wa Dunia mchezo wa masumbwi Duniani Floyd Mayweather juzi alifanya mazoezi hadharani mbele ya waandishi wa habari ikiwa na maandalizi yake ya mwisho kabla ajakumbana na bondia Miguel Cotto may 5 mwaka huu Mayweather mwenye histori ya kutopoteza ata pambano moja duniani atakambana na bondia mweye histolia ya kuwa mbishi wa kupigwa kiraisi ingawa ameshapoteza mapambano yake mawili moja ikiwa na bingwa wa Dunia na ni Mbunge wa Filipino Manny Paquaio na Antonio Marilarito mbali ya kupigwa na maligalito mara ya kwanza mara yapili alilipa kisasi na kumshinda kwa K,O ya raundi ya kumi hivyo kufanya mpambano wake ma Maywether kuwa mgumu kwani si wakutabilika wapenzi wa mchezo wa masumbwi duniani wanalisubili kwa hamu kubwa mpambano huo kuwa wa histolia ya pekee pindi watakapo kutana jumamosi hii

No comments :

Post a Comment