Warembo
wa Redds Miss Ukonga katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Ukonga Hill
Tech Bar maeneo ya Minazi Mirefu au maarufu Banana wakiwa kwenye mazoezi
ya pamoja kujiandaa na siku ya fainalijumamosi hii 05/05/2012 ambapo
mshindi anatarajiwakuungana na washindi toka vitongoji vingine
watakutana katika Kambi ya Redds Miss kanda ya Ilala kabla ya kwenda
kushiriki shindano la taifa la Redds Miss Tanzania 2012.
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
1 day ago
No comments :
Post a Comment