Warembo
wa Redds Miss Ukonga katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Ukonga Hill
Tech Bar maeneo ya Minazi Mirefu au maarufu Banana wakiwa kwenye mazoezi
ya pamoja kujiandaa na siku ya fainalijumamosi hii 05/05/2012 ambapo
mshindi anatarajiwakuungana na washindi toka vitongoji vingine
watakutana katika Kambi ya Redds Miss kanda ya Ilala kabla ya kwenda
kushiriki shindano la taifa la Redds Miss Tanzania 2012.
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗠𝗨𝗔𝗣𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗔𝗠𝗕𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔
𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂
𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akimuapisha Mhe. 𝗣𝗮𝘁𝗿𝗼𝗯𝗮𝘀 𝗞𝗮𝘁𝗮𝗺𝗯𝗶 wa Mambo ya
Ndani...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment