Warembo
wa Redds Miss Ukonga katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Ukonga Hill
Tech Bar maeneo ya Minazi Mirefu au maarufu Banana wakiwa kwenye mazoezi
ya pamoja kujiandaa na siku ya fainalijumamosi hii 05/05/2012 ambapo
mshindi anatarajiwakuungana na washindi toka vitongoji vingine
watakutana katika Kambi ya Redds Miss kanda ya Ilala kabla ya kwenda
kushiriki shindano la taifa la Redds Miss Tanzania 2012.
SERIKALI YATOA MFUMO WA RAMANI KUONESHA MAENEO YENYE VIASHIRIA VYA MAJANGA
-
*Mikakati yawekwa kuendelea kukabili Maafa nchini*
Na.Mwandishi Wetu , Dar es Salaam
Serikali imeandaa mfumo wenye ramani inayoonesha maeneo yenye viashi...
42 minutes ago
No comments :
Post a Comment