Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 7, 2012

Kampuni ya Simon Group ltd,Muwekezaji katika Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA) amwaga mabasi 15 Awamu ya kwanza.






 Msululu wa mabasi yaliyokabidhiwa UDA na Kampuni ya Simon Group Ltd.
 Viongozi wa Kampuni ya Simon Group na wengine Wakielekea kuzindua mabasi15 waliyowekeza UDA.
 Wafanyakazi wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam UDA wakisakata muziki wakati wa kukabidhiwa mabasi 15 kutoka Kampuni ya Simon Group Ltd.
 Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group,Robert Kisena (wa pili kulia) Wawekezaji  wa  Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA akipokea  mfano wa funguo kutoka kwa Meneja wa Biashara wa TATA Afrika Holding Tanzania Ltd,Srinivas Nemalapuri (wa pili kushoto) kulia ni  Mkurugenzi wa  Simon Group, Leonard Rubuye na kushoto Kaimu Meneja Biashara,Sarvan Keshri. ikiwa ishara makabidhiano ya mabasi 15 katika awamu ya kwanza, hafla hiyo  ilifanyika  kwenye Ofisi za UDA  Dar es Salaam.
  Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group,Robert Kisena (wa nne kushoto) akiwaongoza viongozi wengine ndani ya Basi la UDA.
 Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group,Robert Kisena (wa tatu kulia), familia,Mkurugenzi wa Simon Group Leonard Rubeye (wa pili kulia) na Meneja Biashara TATA,Srinivas Nemalapuri (kulia). 
Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group,Robert Kisena akilipia tiketi ya kuingia katika UDA baada ya kuzindua rasm Jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment